msaada WESTERN DIGITAL 480 gb

bulunga

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
303
49
salamu aleykum wana jamvi,

nina external driver western digital 480 gb,nimeweka data zangu ambazo ni kama 80% capacity ya storage, lakini jana nikajaribu kufanya kazi( ku access) nimepigwa na butwaa haisomi na message ina sema natakiwa kui format, nimechanganyikiwa siju nifanye nini, naomba msaada kwa mwenye ujuzi wa swala kama hili anisaidie
 
1. Jaribu kwenye PC nyingine
2. Jaribu kubadili USB Cable/ Port unayotumia
3. Chomoa devices zote zengine za USB.

4. Jaribu hii kitu:

Downloaded the Windows version of TestDisk(TestDisk - CGSecurity).

A. At the first window select “No Log” and press the <Enter> key.
B. Select what drive to analyse, choose “Proceed” and <Enter>.
C. Select partition type – Intel if it’s a PC.
D. Select “Analyse” then <Enter>. The drive/partition will be analysed.
E. Select “Proceed” at the next screen, then <Enter>.
F. Press “Y” if the partitions were created under Vista – “N” if not.
G. TestDisk should say “Structure OK”. Choose the drive/partition to fix. Then press <Enter>.
H. It didn´t found the partition so i had to search again (it started to search on FAT32), wich the disk was formated on.
I. TestDisk should say “Structure OK”. Choose the drive/partition to fix. Then press <Enter>.
I. It said later that the Boot sector initial was diferent from the one found, so i had to rebuild boot sector
J. Select “Write” and press <Enter>.
K. Press “Y”.
L. Press <Enter> and close TestDisk. Reboot the computer.

5.Jaribu kwenye HD case tofauti.

Mwisho kuna uwezekano HD imeharibika (physically) hapo ujue umeumia.
 
download easy recovery software ufanye backup ndio uformat lakini data hazitajipanga kama mwanzo, epuka sana kutumia kwenye pc zinazoleta hii msg: ur connected high speed usb device into non speed usb port
 
1. Jaribu kwenye PC nyingine
2. Jaribu kubadili USB Cable/ Port unayotumia
3. Chomoa devices zote zengine za USB.

4. Jaribu hii kitu:



5.Jaribu kwenye HD case tofauti.

Mwisho kuna uwezekano HD imeharibika (physically) hapo ujue umeumia.


nimejaribu , lakini inasema hakuna partition then enter the starting cylinder (0-38912)
 
download easy recovery software ufanye backup ndio uformat lakini data hazitajipanga kama mwanzo, epuka sana kutumia kwenye pc zinazoleta hii msg: ur connected high speed usb device into non speed usb port

nishawahi kukutana huu ujumbe....hembu NGU nifafanulie kwanza...ukikomaa kwenye pc yenye ujumbe huu inakuaje??
 
1. Jaribu kwenye PC nyingine
2. Jaribu kubadili USB Cable/ Port unayotumia
3. Chomoa devices zote zengine za USB.

4. Jaribu hii kitu:



5.Jaribu kwenye HD case tofauti.

Mwisho kuna uwezekano HD imeharibika (physically) hapo ujue umeumia.

New msg reads
the following sector FAT12 cant be recovered.....
 
salamu aleykum wana jamvi,

nina external driver western digital 480 gb,nimeweka data zangu ambazo ni kama 80% capacity ya storage, lakini jana nikajaribu kufanya kazi( ku access) nimepigwa na butwaa haisomi na message ina sema natakiwa kui format, nimechanganyikiwa siju nifanye nini, naomba msaada kwa mwenye ujuzi wa swala kama hili anisaidie


Mi nakushauri kama ina warrant kareplace tu...
Kama una utaalamuwa ubuntu-linux version jaribu kurun hiyo external kwenye linux,ikishindwa huko then huna ujanja...it works for several times...kwenye window inataka niformat,kwenye linux inasoma fresh!! Try tht may b it will work
NB. Na kama ikisoma ka ubuntu usiicheleweshe,copy data zako muhimu ..then go on formating or whtver!!
 
Mi nakushauri kama ina warrant kareplace tu...
Kama una utaalamuwa ubuntu-linux version jaribu kurun hiyo external kwenye linux,ikishindwa huko then huna ujanja...it works for several times...kwenye window inataka niformat,kwenye linux inasoma fresh!! Try tht may b it will work
NB. Na kama ikisoma ka ubuntu usiicheleweshe,copy data zako muhimu ..then go on formating or whtver!!

Nachanganyikiwa, see this msg
check FAT, cannot read FAT boot sector, FAT32.....
 
Nachanganyikiwa, see this msg
check FAT, cannot read FAT boot sector, FAT32.....

Jaribu kwenye pc yenye NTFS

FAT
ni File Allocation Table inayo control au yenye iformation jinsi contoller inavyotakiwa kufanya Read and write and fetch z kwenye Disk

Vile vile unaweza run command ya
chkdsk. Google neno check disk command ujue zaidi option ulizonazo za hii command. Hii ni comand inaweza kujaribu kufanya repairing za bad sector
 
external hdd za siku hizi zinapata power kupitia usb ambayo ni 5Volts sasa unapochomeka kwenye machine ya kizamani ukakutana na hiyo msg ufahamu voltage ni ndogo inashindwa kuzungusha spindle motor ipasavyo outcomes yake file system inapotea inakuwa RAW format
 
external hdd za siku hizi zinapata power kupitia usb ambayo ni 5Volts sasa unapochomeka kwenye machine ya kizamani ukakutana na hiyo msg ufahamu voltage ni ndogo inashindwa kuzungusha spindle motor ipasavyo outcomes yake file system inapotea inakuwa RAW format

Hii Raw format maana yake ni nini?beside tuseme un external HDD ile cable yake ina two wires ila ukiconect just single wire inadetect fresh.so does this have any effects?
 
raw ni kuwa partition information inakuwa corrupted but data still zinakuwepo na kwa zile hdd ambapo unakuta kuna cable pacha na fupi ya ziada ndani yake kuna wire mbili kwa ajiji ya kuboost power ikiwa umechomeka hdd yako lkn haionekani au unapata msg kama hdd not recognise @ zasasule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom