Kisaka80
Senior Member
- Feb 4, 2012
- 151
- 94
Wapendwa wana JF
Kuna ndugu yangu amepata Division Four pts 32, na amepata alama C katika somo la Biology.
Je anaweza kupata nafasi ya kusomea Nursing na baadae kuweza kuajiriwa?
Pia naomba mnitajie vyuo vya Nursing vya serikali au Binafsi/ private......mnavyovifahamu na sifa zitakiwazo ili kujiunga na mafunzo kama unafahamu.
Asanteni sana.
Kuna ndugu yangu amepata Division Four pts 32, na amepata alama C katika somo la Biology.
Je anaweza kupata nafasi ya kusomea Nursing na baadae kuweza kuajiriwa?
Pia naomba mnitajie vyuo vya Nursing vya serikali au Binafsi/ private......mnavyovifahamu na sifa zitakiwazo ili kujiunga na mafunzo kama unafahamu.
Asanteni sana.