anania
Member
- Jul 2, 2010
- 83
- 8
Mkuu Calvin na dr.phone msaada wenu wahitajika,niliichakachua modem ya ZTE model K-3565-Z kwa kutumia DC-Unlocker kwenye report ikaonyesha sim status ipo unlocked,Sikuweza kutumia sim card ya airtel kwani nilishindwa kupata join air kwani iligoma nilipokuwa na download.Niliendelea kutumia sim card ya voda ikafika kipindi ikawa ikawa inashindwa kuconnect na kutoa taarifa kuwa ni error No.619 ,watu wa voda nilipo wapigia wakaniambia inatakiwa ku uninstall nikafanya hivyo hapo ndipo nilipo jipiga mtama.kwani kilanikijaribu ku install computer inashindwa kusoma sioni kitu kingine zaidi ya kusikia sauti ya kuconnect modem kwenye computer.Ni fanye nini hapo au ndio imekula kwangu.msaada wajameniiiii.