Habari,
Wapendwa, ningependa nijiendeleze kielimu kwa kupata elimu kwa njia ya Online.
Nini advantages and disadvanteges za kusoma online?
Pia mwenye list ya vyuo ambavyo vinatoa huduma hiyo naomba aviweke hapa.
Mimi nipo Tanzania.
Hii ilkuwa hoja ya msingi lakini wabongo wameipotezea matokeo yake utawakuta wako wanachangia zaidi kwenye topic za mahusiano zaidi kurasa tatu, tutafika kweliiiiiiii??????????
Tembelea banda la UDSM maonyesho ya sabasaba specifically kwenye College of ICT (COICT) na uulize ilipo Centre for Virtual Learning, utapata kila kitu pale. Alternaively, visit hii website:
cvl.udsm.ac.tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.