Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,270
- 2,417
Wanajanvi hasa hili la sheria naomba msaada wenu muhimu.
Babu yangu anamiliki ardhi na shamba la miti hapo hapo.Kuna taasisi ambayo inataka kujenga chuo hapo kijijini na tayari imenunua viwanja na mashamba ya watu lakini babu yangu amekataa kuuza kwani anasema pesa ni kidogo anayolipwa.
Sasa kinachotokea ni kwamba ambao hawajakubali kuuza watanyanganywa na serikali itapatifisha.Je serikali au watu wanaweza kumlazimisha mtu kuuza mali yake bila kukubaliana na sheria inasemaje kuhusu hilo?
Babu yangu anamiliki ardhi na shamba la miti hapo hapo.Kuna taasisi ambayo inataka kujenga chuo hapo kijijini na tayari imenunua viwanja na mashamba ya watu lakini babu yangu amekataa kuuza kwani anasema pesa ni kidogo anayolipwa.
Sasa kinachotokea ni kwamba ambao hawajakubali kuuza watanyanganywa na serikali itapatifisha.Je serikali au watu wanaweza kumlazimisha mtu kuuza mali yake bila kukubaliana na sheria inasemaje kuhusu hilo?