LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Msaada wenu wakuu mim nikijana najishughulisha na kazi ya ufundi umeme wa magari.Wiki iliyopita nilikuwa na rafiki yangu tumebeba engine control tulikuwa tumetokanazo kariakoo kwa mafundi wenzetu.Tulikuwa tumetoka kuzichukua tukajalibu kuwashia gari tuliyokuwa tunaitengeneza na kama tutafanikiwa kuiwasha tutarudi tena kule tulikozichukua ili tuongee biashara.
Kwa bahati mbaya au nzuri kabla hatujafika nazo gereji tukakutana na polisi wakatukamata na kutupeleka post tulipofika post wakatutaka tutoe hela laki 2 ili watuachie pamoja na mali zetu.
Bahati mbaya fedha hizo tulikuwa hatuna tukampigia sim fundi mwenzetu akaja akatoa 30 elfu tukaachiwa na mali zetu tukaziacha.Kwa masharti yafuatayo kama tutaenda na risit ya kumiliki mali hizo tutapewa bure bila malipo yoyote.
Kama hatutakuwa na risiti basi tuende na raki 2 ilitupewe mali zetu.
Ugumu ni kwamba sie risit hatuna kwani engine control nyingine tulienda kuazima kwenye gari ya mtu na sasa imekuwa tabu wenye mali wanadai.Na uwezo wakuzilipa sie hatuna.
Hivyo tunataka tukachukue hela za pcb na tuwapelekee hizo laki 2 ilitupate mali zetu.
Swali je kama tutawapa hera hizo za rushwa tutapata mali zetu ??
Naomba msaada wenu wakuu lasivyo ntafungwa mim.
Kwa bahati mbaya au nzuri kabla hatujafika nazo gereji tukakutana na polisi wakatukamata na kutupeleka post tulipofika post wakatutaka tutoe hela laki 2 ili watuachie pamoja na mali zetu.
Bahati mbaya fedha hizo tulikuwa hatuna tukampigia sim fundi mwenzetu akaja akatoa 30 elfu tukaachiwa na mali zetu tukaziacha.Kwa masharti yafuatayo kama tutaenda na risit ya kumiliki mali hizo tutapewa bure bila malipo yoyote.
Kama hatutakuwa na risiti basi tuende na raki 2 ilitupewe mali zetu.
Ugumu ni kwamba sie risit hatuna kwani engine control nyingine tulienda kuazima kwenye gari ya mtu na sasa imekuwa tabu wenye mali wanadai.Na uwezo wakuzilipa sie hatuna.
Hivyo tunataka tukachukue hela za pcb na tuwapelekee hizo laki 2 ilitupate mali zetu.
Swali je kama tutawapa hera hizo za rushwa tutapata mali zetu ??
Naomba msaada wenu wakuu lasivyo ntafungwa mim.