kanywaino Senior Member Sep 10, 2010 171 19 Sep 21, 2012 #1 Wanajamii naomba mnipemsaada ngozi yangu imetoka mapele nataka kuonana na mtaalamu wangozi atakayenipa sababu zatatizo langu ikiwezekana kama kuna vipimo anipime kabisailinitambue kinachonisibu....
Wanajamii naomba mnipemsaada ngozi yangu imetoka mapele nataka kuonana na mtaalamu wangozi atakayenipa sababu zatatizo langu ikiwezekana kama kuna vipimo anipime kabisailinitambue kinachonisibu....
E Edo JF-Expert Member Jun 11, 2008 727 93 Sep 21, 2012 #2 Jaribu AAR Hospital pale mjini, Dr anakuwepo alhamisi