majuz tu tokeo limetoka..napenda sana maths na katika aplications zangu nimeweka bsci in mathematics ya pale UDOM..dah yan niko dilema sielew mana kila kukicha naskia watu wanaponda mbaya hiki chuo!! embu kama kuna mtu mwenye uelewa afunguke!!
majuz tu tokeo limetoka..napenda sana maths na katika aplications zangu nimeweka bsci in mathematics ya pale UDOM..dah yan niko dilema sielew mana kila kukicha naskia watu wanaponda mbaya hiki chuo!! embu kama kuna mtu mwenye uelewa afunguke!!
kwanza kabisa lecturers ni wa shida..miundo mbinu hovyo mfano maji..generally sifa ya chuo wanadai sio poa..sasa hapa nachanyikiwa mana kwa hapa bongo chuo chenye maths na bei poa ni UDOM kuna mwenge ila mi sikipendi..nieleweshe mkubwa!!!
Ukifuatlia mambo ya jf utakata tamaa bure..we nenda kasome maana wat i knw vyuo vyote vya bongo vina changamoto zake.ila sidhan kama udom ni kubaya kivile..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.