dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,954
- 9,474
Heshima kwenu waKUU.
Kuna rafiki yangu Mtoto wake ana Mwaka 1 anatapika wakati mwingine Anaharisha pia ana JOTO KALI amepimwa Maralia U. T .I lkn hakuna kitu na Mtoto anaendelea kuumwa kiukweli amechanganyikiwa hajui ni kitu gani kinamsumbue mwanae aliponishirikisha nimeona nije kwenu kwaajilia ya ushauri wakitaalam.
Natanguliza SHUKRANI
Kuna rafiki yangu Mtoto wake ana Mwaka 1 anatapika wakati mwingine Anaharisha pia ana JOTO KALI amepimwa Maralia U. T .I lkn hakuna kitu na Mtoto anaendelea kuumwa kiukweli amechanganyikiwa hajui ni kitu gani kinamsumbue mwanae aliponishirikisha nimeona nije kwenu kwaajilia ya ushauri wakitaalam.
Natanguliza SHUKRANI