HAbari zenu wakuu....
nahitaji msaada. je ni sehemu gani kodi ya ardhi inapolipiwa kwa wilaya ya ilala? na je kwa sasa hv ni kiasi gani hiyo kodi kwa ajili ya nyumba ya makazi. na nyumba ya makazi na biashara??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.