kimatire
JF-Expert Member
- Nov 27, 2008
- 371
- 93
Hebu tembeleeni hii thread itajibu baadhi ya maswali yenu ingawa si yote https://www.jamiiforums.com/tech-ga...1342-startimes-vs-ting-ushauri-tafadhali.html
Gharama ya king'amuzi kikiwa na antena yake ni sh 160,000 kufunga ni rahisi ukitaka fundi akufungie unaongeza 20,000
Malipo kwa mwezi ni 10,000.
Channel ngapi na zipi unapata sijui, what i know ni kuwa unapata channel zote za kibongo ikiwemo clouds imeongezwa hivi karibuni,pamoja na channel za majirani zetu kenya na uganda. Pia zipo channel za nje ambazo sinahakika nazo ikiwemo za movies, music,sports,documentary,cartoons etc
kwa wapenda footbal sidhani kama provider hawa wa sh 10,000 kwa mwezi wanaweza kuaford kuonyesha mipira ya maana hasa ligi, labda ubahatishe champion kupitia atn, kbc nk
Thnx you Pauss