Thank u guyz. Nimefanikiwa. Jamaa wana package nzuri sana
Thank u guyz. Nimefanikiwa. Jamaa wana package nzuri sana
Mkuu, tuwekee list ya hizo channel za nje zilizopo ukiacha hizo za local tafadhali. Tunataka kuhamia hukoWadau naomba kuuliza kwa kila anae tumia king`amuzi cha Easy tv,kinachakachulika ? maana wanatusumbua sana katika channels 32,ni 13 tu ndio zinaonekana na LC channels zote wametoa,na nalipia kila mwezi.
Thank u guyz. Nimefanikiwa. Jamaa wana package nzuri sana
Hebu tembeleeni hii thread itajibu baadhi ya maswali yenu ingawa si yote https://www.jamiiforums.com/tech-ga...1342-startimes-vs-ting-ushauri-tafadhali.htmlWana Channel Zipi Na Ngapi? Waliokuwa Na Hii EASY TELEVISION Au Waliowahi Kutumia Pls Nisaidieni..Thank You.