Msaada; Wapi naweza kubadilisha Dola za mwaka 2003?

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,423
29,084
Wanajamii,
juzi kati nlikua nafanya 'transaction' flani hivi za dola,
Sasa kwakua dola zilikua ni nyingi na nlikua na haraka sikuweza kuzikagua miaka zaidi ya kwamba nilicheki tu kama sio feki.
Sasa kumbe wajanja ''wamenipiga'' kwa kuchomeka noti 2x$100 za mwaka 2003 ambazo hazitumiki.
Sasa kuna popote ambapo naweza kubadili hizi noti?
Au nizigeuze tu mapambo?
 
all forex shops can exchange except that the rate will be lower than the current denomination
 
Mkuu upo wapi? Kama upo dar nenda pale samora na azikiwe jengo la IPS kuna maduka ya kubadilishia fedha za kigeni, au nenda mtaa wa swahili Kariakoo Bazar, wananunua lakini kwa bei ya chini
 
Usihangaike na bureaus de change kwa fedha zilizopitwa na wakati nenda Bank of Tanzania pale Mirambo street
 
Dah, ahsanteni sana wakuu, niko Dar, kijitonyama.
Karibia kila wiki napitaga pale posta kubadili but sijawahi kujua kama wanakubali za mwaka huo,
Ngoja niwahi fasta wasije wakafunga,
M'barikiwe sana.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Dah, ahsanteni sana wakuu, niko Dar, kijitonyama.
Karibia kila wiki napitaga pale posta kubadili but sijawahi kujua kama wanakubali za mwaka huo,
Ngoja niwahi fasta wasije wakafunga,
M'barikiwe sana.

wahi mkuu .... mimi natumia Castle Lite
 
.....Sasa kumbe wajanja ''wamenipiga'' kwa kuchomeka noti 2x$100 za mwaka 2003 ambazo hazitumiki.
Sasa kuna popote ambapo naweza kubadili hizi noti...

Hivi kumbe Tanzania hawakubali kubadilisha dola za mwaka 2003??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom