Walianzia shilingi 400,000 wao walipokuwa wa kwanza kuleta 3G HSDPA USB moderm ile yenye kikamba.
Baadaye wakashusha mpaka 350,000-280,000 na sasa wamezileta hizi nyeupe ziko kama flash zinauzwa less than 100,000/=
Naomba kuuliza ni gharama kiasi gani kupata mtandao wa internet kupitia vodafone/vodacom USB Modem?
Naomba yeyote ambaye amewahi kuutumia anijulishe gharama zake.