Naombeni mnisaidie nukta hizi 2:-
1) Ni kipi kisichotakiwa kwa vijana ambapo kimo katika katiba ya sasa
2) Ni kipi kiwemo ktk katiba ijayo chenye maslahi kwa vijana.
yanahitajika maelezo marefu , labda la msingi tambua kuwa katiba inatokana na watu ,hivyo ndio wana uwezo wa kuamua kipi kiwemo kwenye katiba na kipi kisiwemo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.