Msaada wana jf kuhusu katiba.

Sayfulhaq

Senior Member
Apr 22, 2012
140
139
Naombeni mnisaidie nukta hizi 2:-
1) Ni kipi kisichotakiwa kwa vijana ambapo kimo katika katiba ya sasa
2) Ni kipi kiwemo ktk katiba ijayo chenye maslahi kwa vijana.
 
yanahitajika maelezo marefu , labda la msingi tambua kuwa katiba inatokana na watu ,hivyo ndio wana uwezo wa kuamua kipi kiwemo kwenye katiba na kipi kisiwemo.
 
Back
Top Bottom