Msaada wale wataalumu wa camera

Luthar

JF-Expert Member
Jul 29, 2011
519
105
Naombeni msaada kwa wale wataalam wa camera nahitaji video camera ya kazi ndiyo naanza nina laki nne na nusu je ntapata kwa hiyo bei na niya aina gani nzuri Asanteni kwa ushauri wenu wana jf
 

Attachments

  • CHADEMA[1].png
    CHADEMA[1].png
    3.7 KB · Views: 128
Naombeni msaada kwa wale wataalam wa camera nahitaji video camera ya kazi ndiyo naanza nina laki nne na nusu je ntapata kwa hiyo bei na niya aina gani nzuri Asanteni kwa ushauri wenu wana jf

Habari mmkuu, ni PM tuongee biashara, nina VIDEO-Camera inaweza kukufaa!
 
Back
Top Bottom