Provided tayari una kiwanja, hiyo inatosha kabisa.
Lakina kama na kiwanja umekipigia mahesabu humo humo kwenye 100Ml inategemea na eneo la kiwanja kwani inaweza isitoshe mfano bei ya kiwanja cha mbezi bichi tu ni zaidi ya milioni 90.
Provided tayari una kiwanja, hiyo inatosha kabisa.
Lakina kama na kiwanja umekipigia mahesabu humo humo kwenye 100Ml inategemea na eneo la kiwanja kwani inaweza isitoshe mfano bei ya kiwanja cha mbezi bichi tu ni zaidi ya milioni 90.
Matofali bora kununua,mtafute fundi mzuri anaweza akakuchagulia shm kwenye matofali mazuri.matofali ya kutengeneza mwenyewe garama inakuwa nafuu kiasi ila inabidi utumie mda mwingi kuyaudumia eg maji na inabidi uwe bega kwa bega na uyo anayefyatua kwani bila hivyo mfuko mmoja utatoa matofali 50 ambayo ni mengi sana alafu cement inayobaki mzee anaipeleka sokoni.Asante mkuu. Kiwanja kipo tayari. Unafahamu wapi mafundi wazuri wa kujenga nyumba ya aina hiyo kwa pesa hiyo? Je matofali ni vizuri kufyatua au kununua yaliyofyatuliwa?
Matofali bora kununua,mtafute fundi mzuri anaweza akakuchagulia shm kwenye matofali mazuri.matofali ya kutengeneza mwenyewe garama inakuwa nafuu kiasi ila inabidi utumie mda mwingi kuyaudumia eg maji na inabidi uwe bega kwa bega na uyo anayefyatua kwani bila hivyo mfuko mmoja utatoa matofali 50 ambayo ni mengi sana alafu cement inayobaki mzee anaipeleka sokoni.