STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 807
- 622
Habari
nna shida sana ya kuwasiliana na mtu ambae ameshawahi kulima ufuta (sesame). Au kama kuna thread iliwahi kuandikwa basi nisaidieni niipate, ni muhimu sana. Kuna ka project natarajia kukaanza soon, so nahitaji msaada wa mawazo pls.
nna shida sana ya kuwasiliana na mtu ambae ameshawahi kulima ufuta (sesame). Au kama kuna thread iliwahi kuandikwa basi nisaidieni niipate, ni muhimu sana. Kuna ka project natarajia kukaanza soon, so nahitaji msaada wa mawazo pls.