Natumia Hp Pavillion ambayo nimeinstall W7,lakini nikiiwasha ili kuitumia inakuwa nzito kustart na inapokuwa imewaka nikitumia ndani ya dakika 30 inakuwa imechemka hadi sehemu yote ya key board inakera kuigusa,naombeni msaada tafadhali.
ukiona laptop yeyote inapata joto ujue ni kwamba kuna uchafu kwenye fan na inabidi itolewe. kuhusu mashine kustart taratibu, hayo ni mambo ya kuwa na programs zinazostart na kompyuta nyingi, jambo ambalo limejadiliwa kwenye hii forum mara kibao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.