Thinker96
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 311
- 66
habarini wakuu wa jamvi,me ni kijana mwangaikaji sana juu ya technology lakini sasa technology imeamua kunihangaisha kimawazo na kifikra!
Mimi nina memory card yangu niliweka kwenye pc yangu kumbe kuna virus aina ya naked woman sasa nikijaribu kufungua hiyo memory card ambayo nimejaza document zangu nyingi na za muhimu katika maisha yangu ya elimu inanicommand niformat ndo ni proceed,sasa naomba msaada wenu maana kuformat sitaki na siwezi wakuu kazi hiyo kubwa naikabidhi mikononi mwenu na mwenyezi MUNGU awaongoze na kuwapa ujuzi zaidi kwa vile unanisaidia. . .nawategemea wakuu.
Mimi nina memory card yangu niliweka kwenye pc yangu kumbe kuna virus aina ya naked woman sasa nikijaribu kufungua hiyo memory card ambayo nimejaza document zangu nyingi na za muhimu katika maisha yangu ya elimu inanicommand niformat ndo ni proceed,sasa naomba msaada wenu maana kuformat sitaki na siwezi wakuu kazi hiyo kubwa naikabidhi mikononi mwenu na mwenyezi MUNGU awaongoze na kuwapa ujuzi zaidi kwa vile unanisaidia. . .nawategemea wakuu.