Msaada wakuu, hii modem ndo imekufa au?

Mulangila Mukuru

JF-Expert Member
Feb 24, 2010
1,945
724
Wakuu nina modem yangu Huawei E1550 kwa bahati mbaya katoto kangu kadogo &nbsp;kaliitia mdomoni baada ya kukanyanganya niliifuta na nikaisubiri km masaaa 5 nilipoiweka kwenye computer ikagoma kuonekana tena kwenye PC ingawa inawaka kuonyesha inapokea power, hata ukifungua ka softwere kake kanasema the device is disconnected or not available,<br>Sasa wakuu msaada wenu plz kama naweza kuifanyia makeke ikawa poa plz...Thanx
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom