Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Wakuu nina modem yangu Huawei E1550 kwa bahati mbaya katoto kangu kadogo kaliitia mdomoni baada ya kukanyanganya niliifuta na nikaisubiri km masaaa 5 nilipoiweka kwenye computer ikagoma kuonekana tena kwenye PC ingawa inawaka kuonyesha inapokea power, hata ukifungua ka softwere kake kanasema the device is disconnected or not available,<br>Sasa wakuu msaada wenu plz kama naweza kuifanyia makeke ikawa poa plz...Thanx