Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Wakuu naomba msaada wa kuelewa wapi na nani anayecertify vyeti. Serikali imetoa tangazo kupitia sekretarieti ya ajira sasa kwenye masharti ya jumla kuna hiki kipengele (kwenye red)
GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, e-mail address and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.
iv. The title of the position applied for should be marked on the envelope; short of which will make the application invalid.
v. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
MASWALI YANGU:
1. Na haka kacheti kangu ka Computer nako ni Academic Certificate?
2. Nani ana certify hivyo vyeti vyenyewe? (Mamlaka iliyokitoa au mwanasheria)
3. Na ni gharama gani (estimate) ikiwa certification inafanywa na mwanasheria?
Ni hayo tu wakuu
GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, e-mail address and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.
iv. The title of the position applied for should be marked on the envelope; short of which will make the application invalid.
v. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
MASWALI YANGU:
1. Na haka kacheti kangu ka Computer nako ni Academic Certificate?
2. Nani ana certify hivyo vyeti vyenyewe? (Mamlaka iliyokitoa au mwanasheria)
3. Na ni gharama gani (estimate) ikiwa certification inafanywa na mwanasheria?
Ni hayo tu wakuu