The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,429
- 13,393
kwa heshima nawasalimu ,mimi ni graduate wa economics na nimeajiriwa TRA CUSTOMS ,nilipata admission ya MA ECON pale ud lakini ghafula nikahamishiwa mkoani.sa ishu nayoomba mnishauri mdogowenu ni kuwa nataka nisome POSTGRADUATE YA LAW open university ,naomba mnishauri ni uamuzi ni ,na kwa wataalamu wa law je inakuwaje nitapitia challenge zipi,je haitanisumbua kwa kuwa na background poor ya sheria,asanteni