pepekale
Member
- Nov 25, 2010
- 60
- 50
Heshima zenu wakuu , Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira especially kwetu tulio hitimu vyuo hivi karibuni , Nimeamua niingie kwenye ujasiliamali ili angalau niweze kusukuma gurudumu hili la maisha .Nimepata sehemu mkopo wa milion 25 za kitanzania na nimeona niwekeze kwenye sector ya usafirishaji, hivyo nimeamua kufanya biashara ya daladala katika ​mkoa wa dar-es-salaam. Naomba msaada kwa mtu anayejua wauzaji wa magari(coaster) ambao naweza pata gari kwa kulipa 70% cash na 30% iliyobaki niwe nawapelekea kidogodogo kwa makubaliano maalum.
N.B kwa sasa nipo nje ya nchi nategemea kurudi siku za usoni hivyo msaada wako utanisaidia sana.
Aksanteni ndugu zangu
N.B kwa sasa nipo nje ya nchi nategemea kurudi siku za usoni hivyo msaada wako utanisaidia sana.
Aksanteni ndugu zangu