Charles1990
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 249
- 46
Habari za saa hizi wakuu.Naamini Mungu anasaidia na ataendelea kufanya hivyo.
Jamani nimepata mkopo(1M).Nimesikia mwezi huu kuna mikoa inafanya uvunaji.Nilikuwa na wazo la kuchukua mazao mikoani na kuleta Dar kwa kuuza.
Tatizo ni kwamba sijui namna ya kupata hayo mazao huku mikoani achilia mbali soko.Naombeni msaada kwa mwenye ujuzi zaidi na hii biashara.Namna ya kukutana na wakulima na wanunuzi wa jumla kwa Dar.
Ni mazao gani yataenda haraka na yanayolipa kwa Dar,na mikoa nayoweza kupata hayo mazao.Thanks.
Jamani nimepata mkopo(1M).Nimesikia mwezi huu kuna mikoa inafanya uvunaji.Nilikuwa na wazo la kuchukua mazao mikoani na kuleta Dar kwa kuuza.
Tatizo ni kwamba sijui namna ya kupata hayo mazao huku mikoani achilia mbali soko.Naombeni msaada kwa mwenye ujuzi zaidi na hii biashara.Namna ya kukutana na wakulima na wanunuzi wa jumla kwa Dar.
Ni mazao gani yataenda haraka na yanayolipa kwa Dar,na mikoa nayoweza kupata hayo mazao.Thanks.