Msaada wakisheria asap plz!

Ina Hu

Member
Apr 13, 2012
47
15
Wanajaamii ninaomba msaada wa haraka wa kisheria ili niweze kumsaidia ndugu yangu wa karibu anayefanya kazi na kampuni ya kigeni.

Kwa ufupi ndugu yangu amefanya kazi tangu mwezi wa 10 mwaka 2009 hadi sasa hivi.

Lakini siku chache zilizopita aliitwa na bosi wake na kupewa taarifa kuwa kazi yake na kampuni hiyo itasitishwa soon, na akapewa muda ajaribu kuangalia atafanya nini baada ya kuachishwa kazi yake na anafikiria nini kuhusu uamuzi huo wa kampuni.

Mimi siko fit juu ya hili ninaomba tumsaidie huyu mtu apate maslahi yake kisheria. Alikuwa analipwa mshahara mzuri tu ki tz maana alianza na usd 1200 na baada ya mwaka kama na nusu akawa analipwa usd 1500 kwa mwezi hada sasa hivi.

Wana jf ninaomba mchanganuo mzuri wa maslahi yake hata kwa lugha ya kingereza haina shida, mchango wenu jamani.
 
Mimi si mwanasheria ila najuw watakuja kukujibu wanasheria ....

Jamani kijana wangu ninasikitika kwamba kijana wetu anaelekea kuipoteza hii kazi nzuri hivi?
Jamani kawauliza ana makosa gani au alishindwa kufanya kazi za wtu vizuri mpaka inapelekea kuitwa na kuarifiwa kuachishwa kazi nzuri hivyo?

Naomba tuendelee kmuombea kwa mungu pengine boss atabadilisha uamuzi wake?
Ninaamini mujiza waweza tendeka. Je aliwahi kumuomba waongee tena na kuuliza nini hasa shida ili ikiwezekana ajirekebishe na amsamehe aendlee na kazi?

Naomba ajaribu tena kurudi kwa Boss
Nitampelekea maombi yake ninapokwenda BIAFRA kwa mkutano wa Injili "MWAYACHUNGUZA MAANDIKO",uanoendelea na mwisho ni Jumamosi. Mwambie aombe na kisha amuone tena Boss wake.

Nawe barikiwa unayemuonea uchungu nduguyo
Amina
 
hakuna tatizo na bosi wake isipokuwa project yao inaenda mwishoni, kwahiyo mkuu wake amemuita mapema na kumpa mjumbe huo
 
Mwongozo mzuri kuhusu suala lako utapatikana baada ya kuwa na facts za ajira yenyewe. Facts hizo zinakuwa zimebainishwa na mkataba wa ajira. Hivyo, ni muhimu kwanza kujua mkataba wajira yake ni wa aina gani na msingi wa makubaliano kati ya mwajiri na wajiriwa ulikuwa ni nini?

Kwa msaada wa zaidi wasiliana nasi kupitia Ardean Attorneys au waweza kutuandikia kupitia info@ardeanattorneys.co.tz.
 
Mwongozo mzuri kuhusu suala lako utapatikana baada ya kuwa na facts za ajira yenyewe. Facts hizo zinakuwa zimebainishwa na mkataba wa ajira. Hivyo, ni muhimu kwanza kujua mkataba wajira yake ni wa aina gani na msingi wa makubaliano kati ya mwajiri na wajiriwa ulikuwa ni nini?

Kwa msaada wa zaidi wasiliana nasi kupitia Ardean Attorneys au waweza kutuandikia kupitia info@ardeanattorneys.co.tz.



Aise!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom