HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Pole sana, inaonekana huyo dada alikuwa na mpango wa muda mrefu wa kuvunja ndoa yako na mkeo. Hivyo kwa kujilegeza kwako na kuangukia kifuani pake amejikuta kapata sababu ya kufanya alichopanga moyoni. Usikubali kubebeshwa mzigo usio wako hata kidogo, kama walivyoshauri wadau subiri mtoto azaliwa mkacheki dna.
Cha pili, mkuu na wewe unategwaje kirahisi hivyo na mtu anayemuita mkeo mshamba na hasa ukizingatia wewe ndiye unayempa lifti?
Ningekuwa mimi siku hiyo hiyo aliyotamka kuwa mke wangu mashamba ningemshusha!
Tafakari ...
Cha pili, mkuu na wewe unategwaje kirahisi hivyo na mtu anayemuita mkeo mshamba na hasa ukizingatia wewe ndiye unayempa lifti?
Ningekuwa mimi siku hiyo hiyo aliyotamka kuwa mke wangu mashamba ningemshusha!
Tafakari ...