Msaada wa Website

Radio Producer

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
724
295
Habari za mida wana JF!
Jamn naombeni msaada hivi kuna website inayoruhusu kufungua website bure kabisa au unalipa baadae! Iwe ya myname.com. Kama ipo wakuu mnipe nizame nataka nianzishe website ya kuwa natunza data zote zinazohusiana na ufisadi kama wiiklicks!
Thenkiyu
 
Zipo lakini wao watakuwa na madaraka mkubwa katika web yako mfano matangazoya biashara wataweka kokote wanakotaka!!hivyo unakuwa huna uhuru nayo japo nikwajina lako!!
 
Sidhani kama ipo. Bore utumie Blogger more anonymous.
 
Kama unataka kutengeneza mtandao utakaokidhi matakwa yako nakushauri utafute huduma za kulipia. You will have to buy your domain name first e.g myname.com (there is no other alternative here). Secondly, you will have to have server space. Considering what you want to achieve, I will advice you to deal with reputable server providers. This will cost you some cash. In short you can not have your cake and eat it too. It does not cost a fortune to establish a secure net presence. Usitake kujenga banda juu ya mchanga!
 
upo wapi?unataka kutengeneza wiki liki ya bongo?if thats the case nakushauri uwasiliane na akina Asenga wa wiki liki watakupa server space na mengineyo.actually kuna jamaa ana bifu na wiki liki amejitenga yeye atakusaidia pia :)

Website siyo bure it cost money to have the service delivered for free,the only thing its free in the world is Oxygen the rest come with attached strings be it visible or invisible at first site.

having said all that.
go to www.co.cc utapat freee domain with a yourname.co.cc
then go to wordpress tengeneza blogg yako with a template of a normal website wikileak lookalike
then use yourname.co.cc to mask the wordpress url,
then watu unawapa www.yourname.co.cc watakuwa wanaenda ktk hiyo website yako.
Angalizo,hiizi free space za blogspot,wordpress etc zinamilikiwa na makampuni makubwa,na wana wataalam wa IT wazuri sana,so usifanye ujinga,uppuuzi ukidhani hautapatikana na hao unaotaka kuwaanika online,yanaweza kukuta makubwa popote ulipo duniani,now adays kuna private companies (military contractors) hao hawawajibiki kwa serikali yeyote wala sheria yeyote ,wanachojali ni pesa yao BASI ,so unaweza kubebwa na kupotea duniani
 
Nimekusoma mkuu! pouwa sana !tayari nipo hewani
upo wapi?unataka kutengeneza wiki liki ya bongo?if thats the case nakushauri uwasiliane na akina Asenga wa wiki liki watakupa server space na mengineyo.actually kuna jamaa ana bifu na wiki liki amejitenga yeye atakusaidia pia :)

Website siyo bure it cost money to have the service delivered for free,the only thing its free in the world is Oxygen the rest come with attached strings be it visible or invisible at first site.

having said all that.
go to www.co.cc utapat freee domain with a yourname.co.cc
then go to wordpress tengeneza blogg yako with a template of a normal website wikileak lookalike
then use yourname.co.cc to mask the wordpress url,
then watu unawapa www.yourname.co.cc watakuwa wanaenda ktk hiyo website yako.
Angalizo,hiizi free space za blogspot,wordpress etc zinamilikiwa na makampuni makubwa,na wana wataalam wa IT wazuri sana,so usifanye ujinga,uppuuzi ukidhani hautapatikana na hao unaotaka kuwaanika online,yanaweza kukuta makubwa popote ulipo duniani,now adays kuna private companies (military contractors) hao hawawajibiki kwa serikali yeyote wala sheria yeyote ,wanachojali ni pesa yao BASI ,so unaweza kubebwa na kupotea duniani
 
Back
Top Bottom