Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Mkuu nadhani hiyo utahitaji kuwapa decoder box wateja wako. Channel za bure haziwi encrypted So hata kama hjalipa montly charge zitaflow tu na taziona tu tu lakini channnel za kulipia zinakuwa encrypted na protocol na idadi ya siku kadi ifanye ya denctyption inakuwa kwenye ile card. Zikiisha siku alizolipia kadi ina disabale decrpytion channel za kulipia. ( Yaaani mfumo wa malipo kama wa DSTV decoder)
But ecryption/ decryption ni system nyingine tena alafu ni complex na kwa bongo nadhani wengine tutaweza kukuchaua labda utumie teknolojia kali sana ambayo itakugharimu sana
But ngoja wataalam waliobobea waje washushe maujuzi yao
Nashukuru sana mkuu kwa imput yako; swali gumu linakuja palepale; How do i encrypt? ina maana kuna software za maana zitahitajika hapa? Nasubiri input kutoka kwa wabobezi! kuna jamaa humu anaitwa yussufmzee kama sikosei, input yake inahitajika sana hapa! Thanx once again!