Nothing4good
Senior Member
- Feb 19, 2011
- 180
- 55
Napenda kumshukuru huyu kaka aliyeweka namba yake kwenye thread ya natafuta mpenz na wale wote wenye tabia ya kuweka no za simu kanisaidia sana huwezi amini nilikua nikitamani sana kuingia humu lakini nilikua siwezi.nawasalimu sana wana jf KHABARIII YA HAPA!! Ingawa namba yako uliiweka kwa madhumuni mengine sorry