Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Wakuu, natamani ku bid gari la mwaka 2004 ambalo ni la ubalozi. Ni TOYOTA LANDCRUISER, SUBARU FORESTER. Nikibid kwa mfano M4 kwa kila moja au mojawapo wa hayo hapo juu, ushuru unaweza kuwa kiasi gani? Natanguliza shukrani zenu. yameingia nchini mwaka huo wa 2004. naogopa kuingia kichwakichwa TRA wasije nitoa kamasi. Thanks in advance wakubwa.