tel me ur joking?
Aah..! Ni baada ya wiki mbili tu na kama cku 4 hv utakuwa ni moto wa kuotea mbali.
tel me ur joking?
wadau mimi nina umri wa miaka 35 baada ya kupata matatizo ktk kufaidi tendo la ndoa nimeamua kutahiriwa(kukata govi), NAOMBA UFAFANUZI WENU WANA JF ITANICHUKUA MDA GANI KWA BUNDUKI YANGU(UUME) KUPONA NA KUANZA KAZI IPASAVYO?.
wadau mimi nina umri wa miaka 35 baada ya kupata matatizo ktk kufaidi tendo la ndoa nimeamua kutahiriwa(kukata govi), NAOMBA UFAFANUZI WENU WANA JF ITANICHUKUA MDA GANI KWA BUNDUKI YANGU(UUME) KUPONA NA KUANZA KAZI IPASAVYO?.