morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,519
- 1,851
Pamoja na yote nina swali huu mguu bandia Wa milioni 20 nikama ule Wa Pristorous Wa afrika kusini au ule Wa electronics ambao bado upo unabuniwa kiwandani !?? Maana miguu bandia iliopo kuna wambao na waplastic bei kuanzia laki 2 mpaka milioni na nusu na pia inategemea mguu umekatikia wapi chini ya goti au juu yake.Ingawa bado napinga malipo hayo nikidogo.ilitakiwa iwe ataa zaidi ya milioni 50 .haswa unipowazia je aliyekatika mguu angekua mcheza mpira Wa kulipwa au mwanariadha iwe ndio kazi au biashara yake.utaona malipo hayatoshi kabisa .ushauri wangu aendelee kudai kwa msingi nilioitaja .nasio bei ya mguu bandia .kwani miguu bandia ataa omba omba unakuta wameivaa.nawasiwasi kama mleta Uzi nimkweli