Msaada wa ramani za nyumba au website

Gudboy

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
867
77
Heshima mbele wadau, naomba msaada wa kupata ramani za nyumba za kisasa zenye vymba vitatu au website ninayoweza kupata ramani za nyumba pamoja na picha zake. natanguliza shukrani
 
Mtafute mtu anaitwa architect na kuwa na orodha ya vitu unavyopenda viwe katika hyo nyumba,size ya kiwanja,ukipewa ramani hapo utakuwa unacopy 2 ya m2 we mtafute architect akuchoree unayotaka na isiyofanana,
 
majadiliano hapa huwa yanaishiaga hewani tu, hata msaada uliokusudiwa haupatikani tena
 
Kuna member humu anaitwa Architect E. M.,
Jaribu kumtafuta humu.
Kuna kitu alinitolea maeneo ya Kibada,
Kimetulia si mchezo!!!
 
Heshima mbele wadau, naomba msaada wa kupata ramani za nyumba za kisasa zenye vymba vitatu au website ninayoweza kupata ramani za nyumba pamoja na picha zake. natanguliza shukrani

ukubwa wa kiwanja kwanza. Kwa upana na urefu. Idadi ya vyumba, na mambo mengine unayohitaji yawepo mfano bafu. Stoo, jiko nk. Kama uko dom ukienda CDA unapata. Kama hauko Dom tuwasiliane zaidi kama kweli una dhamira ntakuchorea ramani unayo hitaji ikiwa na kila kitu.
 
Kuna member humu anaitwa Architect E. M.,
Jaribu kumtafuta humu.
Kuna kitu alinitolea maeneo ya Kibada,
Kimetulia si mchezo!!!

thanxx sana ndugu yangu shark,,,, waambie watanzania watumie proffesionals, kuliko kudownload tu ramani kwenye net,,,, mtu unajenga nyumba ya a life time investment, lakini kutoa vipesa kidogo sana kwa ajili ya kuchorewa ramani, anaona ubahili sana,,, wake up tanzanians, wapeni professionals kazi ya kuwachorea, achaneni na ramani za kwenye internet zisizo na details na ambazo hazifit kwenye context
 
Jamani kazi ya kuchora ramani ni taaluma tena ya kusoma kwa 5yrs. Kuchukua ramani kwenye net ni sawa na wizi na kudhoofisha taaluma za wengine. Nakushauri ufungue website ya AQRB ambayo ni bodi ya Architect na Quantity Surveyors uangalie Architect aliye karibu nae halafu umpe hiyo kazi!
 
thanxx sana ndugu yangu shark,,,, waambie watanzania watumie proffesionals, kuliko kudownload tu ramani kwenye net,,,, mtu unajenga nyumba ya a life time investment, lakini kutoa vipesa kidogo sana kwa ajili ya kuchorewa ramani, anaona ubahili sana,,, wake up tanzanians, wapeni professionals kazi ya kuwachorea, achaneni na ramani za kwenye internet zisizo na details na ambazo hazifit kwenye context

Nakubaliana na wewe lakini internate can be a starting point kwa client kujua requirements za nyumba ya kisasa na kupata ideas nyingi at little cost. Akifanya reseach ya kutosha hapo sasa akija kwako naye anakuwa na vitu vya msingi ambavyo havihitaji degree kuvifahamu. Nafikiri atumie seach engine kupata hizo ideas, then apate mawazo toka kwa wataalam kadhaa halafu anachagua mtaalam mmoja afanye hiyo kazi. Kuna nyumba nyingi zimechorwa kwa makosa makubwa sana kwa sababu client hawakujua mahitaji yao halisi au walizidisha mahitaji na kujikuta wana majumba kama magest house.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom