ngoja nijaribu hiyo
mkuu inaomba code niwekaka 1234 imegoma nitumie code gani?
si unajua tena cm za kununua mitaani kwahiyo hapo nifanyeje?
si unajua tena cm za kununua mitaani kwahiyo hapo nifanyeje?
Nashukuru wakuu nimefanikisha saiz kila kitu kinakubali ku format saiz ipo fresh kila kitu kinakubali