Kuna jamaa zangu wanalima mboga huku moro wanahitaji soko maana madalali wa kariakoo wamekuwa wakiwadhuluma sana.Please msaada waushauri na hiyo network.
Mkuu kupata contact ya kusauppy mboga kwenye hotel kubwa si swala la kitoto lina hitaji juhudi za hali ya juu mno.
Na mara nying supplyer huwa si wakulima yaani kuna watu wamepewa tenda so wao ndo huwa wana nunua kutoka kwa wakulima, tena si kwa kuwafuata bali kwa kwenda sokoni kunua directly.
Wanajua madhara ya kuingia na wakulima contact ya kusambaza, make hapo usanii ndo huwa hauishi mara mvua ilinyesha tukashindwa kwenda shambani, mara gari lilikamatwa na matrafiki, mara gari liliharibika njiani.
Visingizio havitaisha, na hii ina kuwa inakula kwa wenye hotel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.