kwa nini wakati unafanya hukutushirikisha saizi unakuja kuongea kaa nayo tu
kuna mwl wangu mmoja alitoa msemo niliupenda sn, alisema "MWANADAM AMEPEWA NGUVU NA UWEZO WA KUAMUA KUFANYA ANAVYOTAKA LAKINI NI LAZIMA ATAWAJIBIKA KWA KILE ALICHOKIFANYA"ndo yaliyomkuta huyu ndugu yetu
Mbaya zaidi uandike jina lake thn mnakuja kuachana..
Labda nimuulize rafiki yangu maana yeye anatatoo karibia mwili mzima halafu nitakujulisja
Ninavojua hapa Tanzania huo utaalam wa kufuta tattoo bado ila Nairobi inawezekana ninae ndugu yangu ni mchoraji wa tattoo anawashauri watu wanaotaka kufuta kwenda Nairobi ngoja nitamuuliza kma unaufahamu juu ya hao wafutsji huko Nairobi
una pesa....?
mcheki wema sepetu atakua anafahamu jinsi ya kuifuta
Kuna jamaa niliona tangazo lao wanafuta na kuchora tattoo karibu na ofisi yangu jumatatu nitakutumia namba zao uwacheki
Maeneo ya mkwepu kuna karound about nimeona bango la wataalamu wa kuchora na kufuta tattoo.fika maeneo hayo ulizia
kila kitu pesa....kabanga una maanisha nini???au kuna sehemu za bure??
mkepu ndo wapi uko?mkoa gani/mji gan?sijakuelewa yaan,tafadhali
Kwani wewe huko Mkoa gani?