Msaada wa Namba ya HESLB

Emma Lukosi

JF-Expert Member
Jul 22, 2009
929
147
WanaJamvi nawasalimu kwa jina la Mungu muweza, Kwa mara nyingine tena najitokeza kuomba msaada wa namba ya yeyote kati ya hawa Director, Loan Allocations and Disbursements au muhusika yoyote wa pale bodi. Kwa maana nina shida na niko mbali na general line zao hazipatikani.. Kama kuna mtu ana personal namba zao naomba ani PM.
 
Msaada wa Namba ya HESLB

WanaJamvi nawasalimu kwa jina la Mungu muweza, Kwa mara nyingine tena najitokeza kuomba msaada wa namba ya yeyote kati ya hawa Director, Loan Allocations and Disbursements au muhusika yoyote wa pale bodi. Kwa maana nina shida na niko mbali na general line zao hazipatikani.. Kama kuna mtu ana personal namba zao naomba ani PM.​
 
Msaada wa Namba ya HESLB

WanaJamvi nawasalimu kwa jina la Mungu muweza, Kwa mara nyingine tena najitokeza kuomba msaada wa namba ya yeyote kati ya hawa Director, Loan Allocations and Disbursements au muhusika yoyote wa pale bodi. Kwa maana nina shida na niko mbali na general line zao hazipatikani.. Kama kuna mtu ana personal namba zao naomba ani PM.​
Sasa Senior expert member swala hilo la namba ya director linahusiana vp na uchaguzi?
Acha kumisuse hili jukwaa mkuu.
 
Kama una shida sana ni bora kuonana na mtu face to face kuliko kuongea nae kwenye simu.
 
Back
Top Bottom