Emma Lukosi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 929
- 147
WanaJamvi nawasalimu kwa jina la Mungu muweza, Kwa mara nyingine tena najitokeza kuomba msaada wa namba ya yeyote kati ya hawa Director, Loan Allocations and Disbursements au muhusika yoyote wa pale bodi. Kwa maana nina shida na niko mbali na general line zao hazipatikani.. Kama kuna mtu ana personal namba zao naomba ani PM.