Ushauri huu nimeupenda sananenda pharmacy, dawa zipo nyingi, safisha choo unayotumia, fua boxer yako kila siku, usitembee na wanawake wachafu.
Suala la fungus ndugu yangu ni tata.Wakuu, nahisi muwasho hasa kwenye korodani na nadhani ni 'fangasi'. Kama nipo sahihi nini tiba yake?
Unapakaa hiyo dawa nlokutajia?Poa mkuu, huwa napakaa ila naona inajirejea rejea.
Poa mkuu.Katafute Daktacort Cream ila maduka mengi hauzwi, kama uko Dar, nenda manzese Darajani ukishuka tu pale ukitoe ubungo, angalia upande wako kuna Duka pale kwenye ghorofa zipo. Shekilanga kuna Duka la Alafa mkabala na ile hoteli, na maduka mengi ya Sinza wanauza. Ila jaribu pia kuulizia maeneo unaishi hasa maduka makubwa, hii ukipaka tu muwasho utakoma kabla hujapaka siku ya pili, hii itatuliza tatizo haraka sana wakati unajiandaa kumuona Daktari, bei 12,000 mpaka 13,000.
Angalia midomo yake, ukiona ana midomo mipana ujue na K..A nayo ni pana ukiona ana midomo midogo ujue na K..A ni ndogo hahahahahhahahah (joking)Nitawatambuaje mkuu?
xema usirudie kuvaa boxer mara mbili;yaan uvae mara moja den change,ukisema fua boxer kila ck hy imekuwa chupi;mf mm cfui boxer kila ck navaa zaid ya mwez ndo nafua kuz nina boxer zaid ya50;!nenda pharmacy, dawa zipo nyingi, safisha choo unayotumia, fua boxer yako kila siku, usitembee na wanawake wachafu.