Ipi dot com
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 301
- 113
Salaam wana jf,mtoto wa miaka 8 meno yameotea kwa ndani wakati ya mbele yahatikisiki wala kuonyesha dalili ya kung'oka.nisaidieni uzoefu wenu
Salaam wana jf,mtoto wa miaka 8 meno yameotea kwa ndani wakati ya mbele yahatikisiki wala kuonyesha dalili ya kung'oka.nisaidieni uzoefu wenu
Hapo huna jinsi, mpeleke hospital akang'olewe hayo ya zamani, vingnevyo hayo yaliyoota yatakuwa na shepu mbaya, yanaweza kupinda na kuharibu muonekano wa mtoto. Kamng'oe haraka.
Hapo huna jinsi, mpeleke hospital akang'olewe hayo ya zamani, vingnevyo hayo yaliyoota yatakuwa na shepu mbaya, yanaweza kupinda na kuharibu muonekano wa mtoto. Kamng'oe haraka.
sasa hakuna thanks, hakuna like hakuna chochote sijui nikuambiaje ila hembu ona ninavyokupigia makofi ya kibunge
pa pa pa pa pa
sasa hakuna thanks, hakuna like hakuna chochote sijui nikuambiaje ila hembu ona ninavyokupigia makofi ya kibunge
pa pa pa pa pa