ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
Nina memory card ya 4gb,naitumia kwenye nokia n70,nikifungua inasema corrupted,nikifomart inasema protected kama kuna mtu anaweza nipa mawazo mengine,thanx
Nime2mia pc ikafomart nikaweka kwenye 4ne inagoma tena,nasikitika ina mambo muhimu sana,
Nina memory card ya 4gb,naitumia kwenye nokia n70,nikifungua inasema corrupted,nikifomart inasema protected kama kuna mtu anaweza nipa mawazo mengine,thanx
kama ni ushauri unanipa sio mambo ya kuanza kupondana,we unaweza sema imekufa,lkn mwingne akasema hyo inawezekana kufanyiwa recover kwa file system zilizo corrupt,
sina maujanja sana na computer,niambie hyo dos command inapatikana wapi?
mia mzazi