kuna demu mmoja ambaye tumefahamiana kwa muda sasa na tangu mwanzoni alikuwa anajua kuwa mie namtamani....nikamueleza na yeye aksema kuwa asante kwa ukweli wako lakini sipo tayari kuwa frend with benefits.
sasa umepita mwaka na zaidi anaanza kuniambia vipi bado wanitamani tuu...nikamwambia mie nakutamani bado ila mie sitaki seeious relation....chakushangaza kasema well we can talk abt it. je wanajf nile mzigo ama huyu dada anampango wakunibana huko mbeleni ili niwe nae na sio kuwa frends with benefits tuu??
sasa umepita mwaka na zaidi anaanza kuniambia vipi bado wanitamani tuu...nikamwambia mie nakutamani bado ila mie sitaki seeious relation....chakushangaza kasema well we can talk abt it. je wanajf nile mzigo ama huyu dada anampango wakunibana huko mbeleni ili niwe nae na sio kuwa frends with benefits tuu??