Msaada wa mawazo pleaseee

Apr 15, 2013
12
2
Mimi nimemaliza chuo kikuu cha dodoma(UDOM) degree ya computer science nimetafuta kazi mpaka nimekata tamaa kwani sasa ni mwaka unaisha sijapata ajira, nimesambaza aplication zangu kwenye makampuni bila mafanikio na ninaendelea kufanya applicatiion online kwani sijui siku yangu ya kufanikiwa ni lini.naombeni msaada wenu wana JF.Ninaishi Mwanza kwa yoyote mwenye msaada anijuze kwani niko vizuri kwenye software & hardware Instalatiion,Network configuration,computer maintanance,website designing,logos,banners,flyers,bronchure.
 
Mimi nimemaliza chuo kikuu cha dodoma(UDOM) degree ya computer science nimetafuta kazi mpaka nimekata tamaa kwani sasa ni mwaka unaisha sijapata ajira, nimesambaza aplication zangu kwenye makampuni bila mafanikio na ninaendelea kufanya applicatiion online kwani sijui siku yangu ya kufanikiwa ni lini.naombeni msaada wenu wana JF.Ninaishi Mwanza kwa yoyote mwenye msaada anijuze kwani niko vizuri kwenye software & hardware Instalatiion,Network configuration,computer maintanance,website designing,logos,banners,flyers ,bronchure
 
Mimi nimemaliza chuo kikuu cha dodoma(UDOM) degree ya computer science nimetafuta kazi mpaka nimekata tamaa kwani sasa ni mwaka unaisha sijapata ajira, nimesambaza aplication zangu kwenye makampuni bila mafanikio na ninaendelea kufanya applicatiion online kwani sijui siku yangu ya kufanikiwa ni lini.naombeni msaada wenu wana JF.Ninaishi Mwanza kwa yoyote mwenye msaada anijuze kwani niko vizuri kwenye software & hardware Instalatiion,Network configuration,computer maintanance,website designing,logos,banners,flyers ,bronchure

pole sn kuwa na iman utafanikiwa endelea ku2ma appl na kumwomba Mungu.,ucjione upo peke yako c wengne n miaka ishapita ha2na ht kibarua,hal tyt!.
 
Kw ushauri mwngne tafuta mtaj then anzisha ofis yako kutoa services hzo kw wa2 huku ukisubiria hiyo ajira inalipa kuliko kukaa bure ama tafuta ht volunteer mahal il kuweza kuboresha taaluma yako,pole sn!.
 
Nashukuru kwa mawazo yako,Ni kweli swala la kujiajili uwa nalifikilia sana na napenda lakini uwa nawaza mtaji huo wa kuanzisha ofisi nautoa wapi akati hali yangu kifedha hairuhusu.
 
Back
Top Bottom