Msaada wa mawazo, nina mtaji wa milioni 8, biashara hii itanifaa?

kupigakazi

Member
Sep 17, 2014
53
10
Nina kiasi cha tsh. M. 8 nahitaji kuanzisha biashara ya kuuza duka la nguo za akina dada na wamama kama vile magaun, skirt na blause, mikoba(handbag) pochi za mikoni , nguo za watoto pia ME na KE.Na bidhaa nyingine ndogondogo zitakazo stahili. nawaomba wenye uzoefu na hii biashara wanishauri kuhsu hako ka mtaji katafaa kwa kuanzia? na je kwa waliopo maeneo ya mwanza hasa mjin ni maeneo gani ya tafaa? karibuni kwa mawazo
 
mtaji huo ni mkubwa sana na kwa biashara ya nguo co mahal pake, fanya biashara za vyakula, eg kununua nafaka na kuziuza
 
Msaada wa brek ni mzur biashara za nguo ni common na competition ni kubwa sana hasa suala la fashion na stock, nk. Ushaur wangu fanya passive bissness ambayo haikulazim kuwepo masaa24 ili izae, haihitaj headache ya employees wala kulipia frame mm npo dar nitafute kwa no hii nikueleweshe kiundan 0762404670
 
Msaada wa brek ni mzur biashara za nguo ni common na competition ni kubwa sana hasa suala la fashion na stock, nk. Ushaur wangu fanya passive bissness ambayo haikulazim kuwepo masaa24 ili izae, haihitaj headache ya employees wala kulipia frame mm npo dar nitafute kwa no hii nikueleweshe kiundan 0762404670
Mbona unataka kuficha information, biashara ya passive ni ipi? si uelezee hapa kinagaubaga?? upigiwe simu tena? usijekuwa unafanya biashara ya watoka pabaya.
 
Back
Top Bottom