Msaada wa matumizi ya iPad

Duh, wakuu nashukuru sana kwa hii mada, ........................ mi nami nina tatizo,.................. almost a week kuna msg hapa kwenye Setting >General.... ukiifungua inasema software update (iOS 6-563MB)............. nikiingia kwenye "Download and Install" inanipeleka kwenye page ya "Terms and Conditions" then nina "Agree" .................... hapo inatokea msg "Downloading".................. tatizo ni kuwa inadownload na ikifika somewhere inaniambia failed to install................ nashindwa kujua tatizo hasa ni nini

Inawezekana file la OS likawa kubwa kulinganisha na speed ya internet yako. Ukiona kama inaendelea kufanya hivyo ningekushauri ufanye hiyo upgrade kwa kutumia iTunes ukiwa umeunganisha iDevice yako na computer yenye iTunes.

TAHADHARI: Kama ulikuwa ume-jailbreak iDevice yako, new upgrade inaweza kuondoa jailbreaking yako na kupoteza uhondo wa Cydia. Sina hakika kama kuna jailbreak software ya OS6 yet.
 
Thanks Mkuu Indume Yene,

Naomba unifafanulie na hili pia............................... ninapataga shida sana na mpaka wa leo sijajua jinsi ya kuweka ma-file tofauti ya Muziki na picha, maana kama nimeweka picha na music na nikitaka kuweka folder lingine jipya... basi huwa linafuta yale yote ya mwanzo na kubakia na lie jipya tu nililoweka.......

Sasa sijajua tatizo liko kwenye matumizi ya itune ama nini, maana nikitaka kuweka folder mpya la picha ama music basi narudi kwenye i tune na kuunganisha folder mpya na lazami ndio na upload tena na hapo ndipo napata folder/file zote (Zamani na mpya)
 
Duh, wakuu nashukuru sana kwa hii mada, ........................ mi nami nina tatizo,.................. almost a week kuna msg hapa kwenye Setting >General.... ukiifungua inasema software update (iOS 6-563MB)............. nikiingia kwenye "Download and Install" inanipeleka kwenye page ya "Terms and Conditions" then nina "Agree" .................... hapo inatokea msg "Downloading".................. tatizo ni kuwa inadownload na ikifika somewhere inaniambia failed to install................ nashindwa kujua tatizo hasa ni nini

OS ni kifupi cha Operating System.
 
Duh, wakuu nashukuru sana kwa hii mada, ........................ mi nami nina tatizo,.................. almost a week kuna msg hapa kwenye Setting >General.... ukiifungua inasema software update (iOS 6-563MB)............. nikiingia kwenye "Download and Install" inanipeleka kwenye page ya "Terms and Conditions" then nina "Agree" .................... hapo inatokea msg "Downloading".................. tatizo ni kuwa inadownload na ikifika somewhere inaniambia failed to install................ nashindwa kujua tatizo hasa ni nini

Kituko kama unataka kuUpgrade kwenda IOS 6 (haina jailbreak) ni bora uDownload hiyo ipsw separately alafu uRestore kupitia iTunes. Upgrading kupitia iTunes au Directly kwa simu inakuwa slow sana. Ukikamatia hilo file na download accelerator haitachukua hata dakika 20 umemaliza,,chagua hapa firmware ya iPad yako ( http://osxdaily.com/2012/09/19/ios-6-ipsw-direct-download-links/ )
 
Pole sana


BigMan,

Nimekwisha kuona kuwa hili ni tatizo la wengi sana na si wewe pekee; naomba nikuelekeze kama ifuatavyo:

Bonyeza "Settings" kwenye iPad yako; kisha tafuta sehemu ya "General" na hapo vuta mpaka chini utaona sehemu imeandikwa "keyboard"; hapo ndipo pana maelekezo ya nini cha kufanya ('On' & 'Off' options).

Karibu sana

ndugu yangu nashukuru ubarikiwe sana
 
Pole sana BigMan,

Nimekwisha kuona kuwa hili ni tatizo la wengi sana na si wewe pekee; naomba nikuelekeze kama ifuatavyo:

Bonyeza "Settings" kwenye iPad yako; kisha tafuta sehemu ya "General" na hapo vuta mpaka chini utaona sehemu imeandikwa "keyboard"; hapo ndipo pana maelekezo ya nini cha kufanya ('On' & 'Off' options).

Karibu sana
Invisible... thank you, hili tatizo limenifanya niiweke IPAD kuwa chombo cha kusikilizia mziki na kuangalia picha tu... labda na kusoma reports

thanks sana
 
Thanks Mkuu Indume Yene,

Naomba unifafanulie na hili pia............................... ninapataga shida sana na mpaka wa leo sijajua jinsi ya kuweka ma-file tofauti ya Muziki na picha, maana kama nimeweka picha na music na nikitaka kuweka folder lingine jipya... basi huwa linafuta yale yote ya mwanzo na kubakia na lie jipya tu nililoweka.......

Sasa sijajua tatizo liko kwenye matumizi ya itune ama nini, maana nikitaka kuweka folder mpya la picha ama music basi narudi kwenye i tune na kuunganisha folder mpya na lazami ndio na upload tena na hapo ndipo napata folder/file zote (Zamani na mpya)

Ngoja mi nijaribu kusaidia.
Kwa picha na miziki: unapochomeka device yako kwenye laptop na ukishaiona kwenye iTunes, click kwenye device kisha kwenye menu itakayoshuka chagua 'back up' hiyo itafanya picha/miziki yako ihifadhiwe kwenye kompyuta hivyo na ukiingiza tena folder lingine haifuti la zamani kwenye simu yako.

Apps: kwa apps ukishawasha iTunes yako click device yako halafu chagua 'transfer purchases' hapo hata ukisync hupotezi apps zako.

Chanzo cha shida ni kuwa sync ya Apple ni one way toka kwenye kompyuta kwenda kwenye simu huku ikifuta vitu vingine vyote ambavyo havipo kwenye kompyuta. Mim si mtaalamu sana ila ndivyo nijuavyo
 
ndugu yangu nimepata tatizo lingine,baada ya kucheza na ipad yangu sijajua nimeshika button gani kwani hivi sasa toug screen imestak na sasa ina voice over na applications zote zinataka double click,lakini pia kuna meseji nilikuwa nimeiandika katika notes na nikajaribu kuituma kwa mail lakini cha ajabu haitaki kuondoa na ipo juu ya zle notes za awali nimejaribu kwenda katika setting nimeshindwa kuliondoa tatizo hilo
 
ndugu yangu nimepata tatizo lingine,baada ya kucheza na ipad yangu sijajua nimeshika button gani kwani hivi sasa toug screen imestak na sasa ina voice over na applications zote zinataka double click,lakini pia kuna meseji nilikuwa nimeiandika katika notes na nikajaribu kuituma kwa mail lakini cha ajabu haitaki kuondoa na ipo juu ya zle notes za awali nimejaribu kwenda katika setting nimeshindwa kuliondoa tatizo hilo
Umetatua tatizo hili?

Ni vema ukasoma maelekezo ya kutumia JF app hapa - https://www.jamiiforums.com/habari-...nd-iphone-ipod-touch-app-is-now-released.html

Click here to find the JF iPad app in the App Store, If you want the iPhone version of JamiiForums, click here.
 
Pole sana BigMan,

Nimekwisha kuona kuwa hili ni tatizo la wengi sana na si wewe pekee; naomba nikuelekeze kama ifuatavyo:

Bonyeza "Settings" kwenye iPad yako; kisha tafuta sehemu ya "General" na hapo vuta mpaka chini utaona sehemu imeandikwa "keyboard"; hapo ndipo pana maelekezo ya nini cha kufanya ('On' & 'Off' options).

Karibu sana
Mimi tatizo ni kwenye Samsung tablet 10.1 ninapotaka ku comment au kureply keypad haitokei,ila inatokea tu nikitaka kuandika subject,nimejaribu mara kadha lakini wapi ,hata nikitaka kupost uzi mpya tatizo linakuwa ni hilo ,kiasi kwamba kazi yangu ni kusoma JF tu na si kujibu au kuchangia yanayotokea
 
Mimi tatizo ni kwenye Samsung tablet 10.1 ninapotaka ku comment au kureply keypad haitokei,ila inatokea tu nikitaka kuandika subject,nimejaribu mara kadha lakini wapi ,hata nikitaka kupost uzi mpya tatizo linakuwa ni hilo ,kiasi kwamba kazi yangu ni kusoma JF tu na si kujibu au kuchangia yanayotokea
Ume-download JF app ya Android? Ichukue hapa inaweza kupunguza baadhi ya kero - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.quoord.jamiiforums.activity

Hata hivyo, ningependa kujua kama ni tatizo linalotokea kwa JF pekee
 
Tupo pamoja inv kwenye auto correction unanyuka OFF maana hii lugha yetu not compatible na za kimataifa ambazo IPAD inazitambua
 
Back
Top Bottom