Msaada wa matumizi ya iPad

Pole sana BigMan,

Nimekwisha kuona kuwa hili ni tatizo la wengi sana na si wewe pekee; naomba nikuelekeze kama ifuatavyo:

Bonyeza "Settings" kwenye iPad yako; kisha tafuta sehemu ya "General" na hapo vuta mpaka chini utaona sehemu imeandikwa "keyboard"; hapo ndipo pana maelekezo ya nini cha kufanya ('On' & 'Off' options).

Karibu sana
 
Last edited by a moderator:
Pole sana BigMan,

Nimekwisha kuona kuwa hili ni tatizo la wengi sana na si wewe pekee; naomba nikuelekeze kama ifuatavyo:

Bonyeza "Settings" kwenye iPad yako; kisha tafuta sehemu ya "General" na hapo vuta mpaka chini utaona sehemu imeandikwa "keyboard"; hapo ndipo pana maelekezo ya nini cha kufanya ('On' & 'Off' options).


Karibu sana

Asante sana aisee! Nilikuwa naboreka sana na hii kitu....ngoja nikatoe fasta.
 
Last edited by a moderator:
Nina tatizo pia la chat nikiwa fb, huwa na uwezo wa kuchat na mtu mmoja tu, nikiwajibu wengine inaji-off naanza kulog in upya.

Hili tatizo limekuja recently sijui ni nini linanikera sana, naomba msaada wako Invisible, na wataalamu wengine.
 
Nina tatizo pia la chat nikiwa fb, huwa na uwezo wa kuchat na mtu mmoja tu, nikiwajibu wengine inaji-off naanza kulog in upya.

Hili tatizo limekuja recently sijui ni nini linanikera sana, naomba msaada wako Invisible, na wataalamu wengine.
Mkuu wangu,

Maelezo yako magumu kidogo.

Nini inaji-OFF? You mean, iPad inajizima?

Which application are you using for FB chats? Did you update it?

Umeona kuwa maelezo yako yanahitaji nyama zaidi?
 
Nina tatizo pia la chat nikiwa fb, huwa na uwezo wa kuchat na mtu mmoja tu, nikiwajibu wengine inaji-off naanza kulog in upya.

Hili tatizo limekuja recently sijui ni nini linanikera sana, naomba msaada wako Invisible, na wataalamu wengine.

wewe unahitaji kutumia facebook application for iPad. Usitumie safari. Smartphones zote usipotumia applications zake huwezi kuchat on fb. Utachat bila matatizo uki-download hizi.
 
Duh, wakuu nashukuru sana kwa hii mada, ........................ mi nami nina tatizo,.................. almost a week kuna msg hapa kwenye Setting >General.... ukiifungua inasema software update (iOS 6-563MB)............. nikiingia kwenye "Download and Install" inanipeleka kwenye page ya "Terms and Conditions" then nina "Agree" .................... hapo inatokea msg "Downloading".................. tatizo ni kuwa inadownload na ikifika somewhere inaniambia failed to install................ nashindwa kujua tatizo hasa ni nini
 
Back
Top Bottom