CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Wakuu kuna mdada anapenda kufanya biashara ya Bite anakuwa anapika na kupark fresh then anauza sehemu mbalimbali, so anataka kujua kwa ARUSHA ni sehemu gani wanatoa hizo kozi au wanafundisha kutengeneza hivyo vitu,