msaada tafadhali wa wapi pa kuanzia,muhusika ni babu yangu alikuwa halmashauri ya wilaya ya iramba,anasema anazo document zote ingawa amezisahau singida kwani yeye tukonaye hapa dar kutokana na kuumwa.kama inawezekana tuziagizie ziletwe kisha afanye process zote hapa dar ndo maana naulizia process zote zinazohitajika na wapi pa kuanzia.msaada tafadhali tumsaidie huyu BABU AHSANTENI