Msaada wa Lugha tafadhali

Ziltan

JF-Expert Member
Aug 20, 2011
2,647
6,829
Heshima mbele wakuu,
naomba msaada wa kuelewa hizi post kwa kiingereza,
1.Afisa Elimu vifaa na takwimu
2.Afisa Elimu Taaluma.
3.Afisa Elimu vielelezo.
 
Heshima mbele wakuu,
naomba msaada wa kuelewa hizi post kwa kiingereza,
1.Afisa Elimu vifaa na takwimu
2.Afisa Elimu Taaluma.
3.Afisa Elimu vielelezo.

Bahati nzuri mimi ni mdau wa elimu na hawa wadosi wote ninajua majina ya nyadhifa zao kwa Kiingereza. Hawa huitwa:
Afisa Elimu Vifaa na Takwimu - anaitwa Statistics and Logistics Officer (S.L.O.) Cheo hiki kipo katika ngazi ya Wilaya na Mkoani hakuna Afisa mwenye cheo cha namna hii
Afisa Elimu Taaluma - Wilayani anaitwa DAO-kwa maana ya District Academic Officer na Mkoani anaitwa RAO-kwa maana ya Regional Academic Officer.
Afisa Elimu Vielelezo - Bahati mbaya cheo hiki pia hakipo katika ngazi ya Mkoa ila wilayani tu. Kwa hiyo huyu anaitwa DAVO kwa maana ya District Audio-Visual Officer

Ninawasilisha!
 
Bahati nzuri mimi ni mdau wa elimu na hawa wadosi wote ninajua majina ya nyadhifa zao kwa Kiingereza. Hawa huitwa:
Afisa Elimu Vifaa na Takwimu - anaitwa Statistics and Logistics Officer (S.L.O.) Cheo hiki kipo katika ngazi ya Wilaya na Mkoani hakuna Afisa mwenye cheo cha namna hii
Afisa Elimu Taaluma - Wilayani anaitwa DAO-kwa maana ya District Academic Officer na Mkoani anaitwa RAO-kwa maana ya Regional Academic Officer.
Afisa Elimu Vielelezo - Bahati mbaya cheo hiki pia hakipo katika ngazi ya Mkoa ila wilayani tu. Kwa hiyo huyu anaitwa DAVO kwa maana ya District Audio-Visual Officer

Ninawasilisha!

Ziltan naona hapa Mkuu Omonto wa-hene amekijibu vizuri
 
Bahati nzuri mimi ni mdau wa elimu na hawa wadosi wote ninajua majina ya nyadhifa zao kwa Kiingereza. Hawa huitwa:
Afisa Elimu Vifaa na Takwimu - anaitwa Statistics and Logistics Officer (S.L.O.) Cheo hiki kipo katika ngazi ya Wilaya na Mkoani hakuna Afisa mwenye cheo cha namna hii
Afisa Elimu Taaluma - Wilayani anaitwa DAO-kwa maana ya District Academic Officer na Mkoani anaitwa RAO-kwa maana ya Regional Academic Officer.
Afisa Elimu Vielelezo - Bahati mbaya cheo hiki pia hakipo katika ngazi ya Mkoa ila wilayani tu. Kwa hiyo huyu anaitwa DAVO kwa maana ya District Audio-Visual Officer

Ninawasilisha!

omonto wa hene okore bhuya mbane
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom