Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
WanaJf naomba msaada wenu, kabla ya hayo nalipongeza hili jukwaa la Tech kwa
kutoa msaada mkubwa kwa Jamii
Mimi nina laptop ndogo yangu ya Acer( mfano wake kama hapo chini) nimetumia hii laptop kwa mwaka tokea niletewe na ndugu yangu
last week imeanza kuniletea matatizo nikiweka kwenye power hawezi kucharge mpaka sasa reserve ya bettary iliyokuwa nayo imeisha
siwezi kuwasha tena, nikitoa bettary na kuchomeka kwenye soketi moto hauingii.
Msaada jamani
Tatizo ni battery au wire wa kuconnect kwenye power?
wapi wanauza spare kama tatizo ndo hilo?
kutoa msaada mkubwa kwa Jamii
Mimi nina laptop ndogo yangu ya Acer( mfano wake kama hapo chini) nimetumia hii laptop kwa mwaka tokea niletewe na ndugu yangu
last week imeanza kuniletea matatizo nikiweka kwenye power hawezi kucharge mpaka sasa reserve ya bettary iliyokuwa nayo imeisha
siwezi kuwasha tena, nikitoa bettary na kuchomeka kwenye soketi moto hauingii.
Msaada jamani
Tatizo ni battery au wire wa kuconnect kwenye power?
wapi wanauza spare kama tatizo ndo hilo?